Sunday, October 24, 2010

Karibuni katika ukurasa mpya na wa aina yake!!!

Ndugu zangu napenda kuwakaribisha katika ukurasa huu wa mahusiano. Ninaposema mahusiano namaanisha mahusiano yetu sisi kama vijana, wazee, wapenzi, marafiki, wanajamii na kadhalika.

Unakaribishwa kutoa mawazo yako, maoni au ushauri wowote kuhusu mahusiano. Toa mtazamo wako kuhusu mahusiano ili tuweze kujifunza kupitia wewe.

Naanza kwa kukuuliza swali/maswali
1. Mahusiano nini?
2. Ili mahusiano yako ya KIMAPENZI yawezekudumu utatumia mbinu gani?
3. Kwanini mahusiano mengi ya KIMAPENZI yanadumu kwa kitambo kidogo na kuvunjika?

No comments:

Post a Comment